Timu 12 Zitakazoshiriki Mashindano ya CECAFA Kagame Cup 2025

WhatsApp Group Join Now
Telegram Group Join Now

Timu 12 Zitakazoshiriki Mashindano ya CECAFA Kagame Cup 2025

Timu 12 Zitakazoshiriki Mashindano ya CECAFA Kagame Cup 2025

Timu 12 ndizo zitakazoshiriki katika Mashindano ya CECAFA Kagame Cup 2025 yanayotarajiwa kufanyika Septemba 2-15 jijini Dar es Salaam, Tanzania huku droo ikipangwa Agosti 26.
Wenyeji Tanzania watawakilishwa na mmoja wa Wawakilishi wao katika Kombe la Shirikisho Afrika Singida Black Stars FC, huku Mogadishu City Club wakiwakilisha Somalia.
Vilabu kama Yanga SC,Simba SC na Aigle Noir CS ya Burundi hazitashiriki kwenye mashindano hayo.
klabu za Mlandege SC (Zanzibar), Kenya Police FC (Kenya), Flambeau du Centre (Burundi), Garde Cotes FC (Djibouti), Ethiopian Coffee SC (Ethiopia), huku Al Hilal Omdurman na Alhly SC Wad Madani wataiwakilisha Sudan, zitashiriki katika kipute hicho.
CECAFA inatarajia kuwa Michuano hiyo itakuwa jukwaa zuri la kuzisaidia timu kujiandaa vyema kabla ya Michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika na Kombe la Shirikisho la CAF.
Mwaka jana timu ya Ligi Kuu ya Zambia, Red Arrows FC iliibuka Mabingwa. Wageni waliwashinda APR FC ya Rwanda katika fainali iliyochezwa kwenye Uwanja wa KMC.
SOMA HII  Simba Kuivaa Gor Mahia ya Kenya Kwenye Kilele cha Simba Day 2025

Hot this week

Nafasi za Kazi Jeshi la Magereza 2025

Jeshi la Magereza limetangaza nafasi mpya za ajira kwa...

Namna Ya Kuangalia Taarifa Za Usajili NIDA | Hatua kwa hatua

Namna Ya Kuangalia Taarifa Za Usajili NIDA, Kuangalia taarifa...

Mfumo wa Maombi ya Ajira kwa Walimu Mtandaoni (OTEAS)

Mwongozo wa Mfumo wa Maombi ya Ajira kwa Walimu...

Orodha ya Vifurushi vya Azam TV na Bei zake – Chagua Kifurushi Kinachokufaa

Azam TV imekuwa sehemu muhimu ya burudani ndani ya...

Sample/Mfano wa Barua ya Maombi ya Kazi Jeshi la Magereza

Mfano wa Barua ya Maombi ya Kazi Jeshi la...

Wasifu CV ya Neo Maema Kiungo Mpya wa Simba 2025/2026

Klabu ya Simba SC imethibitisha kukamilisha usajili wa kiungo...

Ratiba ya Klabu Bingwa Afrika 2025/2026 Hatua ya Awali

Droo ya mashindano ya Shirikisho la Soka Afrika (CAF)...

Wasifu CV Ya Mohamed Doumbia Kiungo Mpya wa Yanga 2025/2026

Mu Ivory Coast, Mohamed Doumbia (26) ametambulishwa na timu...

Kikosi cha Taifa Stars vs Morocco Leo 22 August 2025 CHAN

Timu ya Taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’ itacheza mchezo...

Orodha ya Wafungaji Bora CHAN 2025

Orodha ya Wafungaji Bora CHAN 2025, Michuano ya CHAN...

Wasifu CV Ya Rushine De Reuck Beki Mpya wa Simba 2025/2026

Klabu ya Simba imemtambulisha rasmi beki wa kati, Rushine...

Matokeo ya Taifa Stars vs Morocco Leo 22/08/2025 CHAN

Kikosi cha Timu ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars,...

Related Articles

Popular Categories

Njia Rahisi ya Kuangalia Namba ya NIDA Kwa SMS

Njia Rahisi ya Kuangalia Namba ya NIDA Kwa SMS, Kupata namba ya NIDA kwa njia ya SMS ni rahisi na haraka. Njia hii ni...

Jinsi ya Kupata Mtoto wa Kiume

Jinsi ya Kupata Mtoto wa Kiume, Ni shauku ya kila mzazi kupata Watoto wa Jinsia tofauti katika uzao wao ingawaje Wengi hupata watoto wa...

Jinsi ya Kukopa Muda wa Maongezi Halotel | Menu ya kukopa Salio Halotel

Jinsi ya Kukopa Muda wa Maongezi Halotel, Je Unatumia mtandao wa simu wa halotel na umekwama na hujui hatua ,sifa na vigezo za kupata...