Chama Ajiunga na Singida Black Stars kwa Mkataba wa Mwaka Mmoja

WhatsApp Group Join Now
Telegram Group Join Now

Klabu ya Singida Black Stars imepiga hatua kubwa kwenye soko la usajili baada ya kutangaza kumsajili kiungo mshambuliaji kutoka Zambia, Clatous Chama ambaye amejiunga na timu hiyo kwa mkataba wa mwaka mmoja.

Chama Ajiunga na Singida Black Stars kwa Mkataba wa Mwaka Mmoja

Chama Ajiunga na Singida Black Stars kwa Mkataba wa Mwaka Mmoja

Chama anayesifika kwa uwezo wake wa kutengeneza nafasi na kufunga mabao muhimu, anatajwa kuwa miongoni mwa wachezaji wenye uzoefu mkubwa katika soka la Afrika. Nyota huyo wa Zambia ametamba katika vilabu kadhaa na sasa ana jukumu la kuimarisha kikosi cha kocha Miguel Gamondi.

Gamondi anaripotiwa kumuona Chama kama nguzo muhimu ya mafanikio ya Singida Black Stars katika Ligi Kuu ya Tanzania Bara (NBC Premier League) pamoja na Kombe la Shirikisho la CAF.

SOMA HII  Wasifu CV ya Naby Camara Beki Mpya Simba 2025/26

Ujio wa Chama unatarajiwa kuiongezea nguvu safu ya ushambuliaji ya Singida Black Stars, na mashabiki wanatamani kuona namna atakavyoshirikiana na wachezaji wengine wa kikosi hicho kipya chenye lengo la kuwiana vikali msimu huu.

Kwa mashabiki na wachambuzi wa soka usajili huu unaonekana kuwa ni ishara ya dhamira ya klabu ya Singida Black Stars ya kujenga timu yenye ushindani mkubwa katika ngazi ya kitaifa na kimataifa.

Hot this week

Nafasi za Kazi Jeshi la Magereza 2025

Jeshi la Magereza limetangaza nafasi mpya za ajira kwa...

Namna Ya Kuangalia Taarifa Za Usajili NIDA | Hatua kwa hatua

Namna Ya Kuangalia Taarifa Za Usajili NIDA, Kuangalia taarifa...

Mfumo wa Maombi ya Ajira kwa Walimu Mtandaoni (OTEAS)

Mwongozo wa Mfumo wa Maombi ya Ajira kwa Walimu...

Orodha ya Vifurushi vya Azam TV na Bei zake – Chagua Kifurushi Kinachokufaa

Azam TV imekuwa sehemu muhimu ya burudani ndani ya...

Sample/Mfano wa Barua ya Maombi ya Kazi Jeshi la Magereza

Mfano wa Barua ya Maombi ya Kazi Jeshi la...

Wasifu CV ya Neo Maema Kiungo Mpya wa Simba 2025/2026

Klabu ya Simba SC imethibitisha kukamilisha usajili wa kiungo...

Ratiba ya Klabu Bingwa Afrika 2025/2026 Hatua ya Awali

Droo ya mashindano ya Shirikisho la Soka Afrika (CAF)...

Timu 12 Zitakazoshiriki Mashindano ya CECAFA Kagame Cup 2025

Timu 12 Zitakazoshiriki Mashindano ya CECAFA Kagame Cup 2025 Timu...

Wasifu CV Ya Mohamed Doumbia Kiungo Mpya wa Yanga 2025/2026

Mu Ivory Coast, Mohamed Doumbia (26) ametambulishwa na timu...

Kikosi cha Taifa Stars vs Morocco Leo 22 August 2025 CHAN

Timu ya Taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’ itacheza mchezo...

Orodha ya Wafungaji Bora CHAN 2025

Orodha ya Wafungaji Bora CHAN 2025, Michuano ya CHAN...

Wasifu CV Ya Rushine De Reuck Beki Mpya wa Simba 2025/2026

Klabu ya Simba imemtambulisha rasmi beki wa kati, Rushine...

Related Articles

Popular Categories

Njia Rahisi ya Kuangalia Namba ya NIDA Kwa SMS

Njia Rahisi ya Kuangalia Namba ya NIDA Kwa SMS, Kupata namba ya NIDA kwa njia ya SMS ni rahisi na haraka. Njia hii ni...

Jinsi ya Kupata Mtoto wa Kiume

Jinsi ya Kupata Mtoto wa Kiume, Ni shauku ya kila mzazi kupata Watoto wa Jinsia tofauti katika uzao wao ingawaje Wengi hupata watoto wa...

Jinsi ya Kukopa Muda wa Maongezi Halotel | Menu ya kukopa Salio Halotel

Jinsi ya Kukopa Muda wa Maongezi Halotel, Je Unatumia mtandao wa simu wa halotel na umekwama na hujui hatua ,sifa na vigezo za kupata...