Nauli ya Basi Dar Es Salaam kwenda Dodoma

WhatsApp Group Join Now
Telegram Group Join Now

Nauli ya Basi Dar Es Salaam kwenda Dodoma, Safari ya basi kutoka Dar es Salaam kwenda Dodoma ni moja kati ya safari zenye idadi kubwa ya wasafiri kutokana na shughuli nyingi za kijamii na kiuchumi zinazoendelea baina ya mikoa hii miwili muhimu.

Safari hii, ambayo huchukua takribani masaa saba hadi kumi kutegemeana na aina ya basi na hali ya barabara. Safari ya kutoka dar es salaam kuelekea makao makuu ya nchi inahudumiwa na makampuni mbalimbali ya usafiri yanayotoa huduma za usafiri wa basi.

Miongoni mwa makampuni maarufu yanayo toa huduma ya kusafirisha abiria kutoka dar es salaam kwenda Dodoma ni Happy nation, Shabby, Abbood Bus, New force,  Kimbinyiko n.k. Makampuni haya yamekua yakitoza nauli kulingana na viwango vilivyopangwa na LATRA (Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini).

SOMA HII  Njia Sahihi za Kufanikiwa Katika Umri Mdogo

Nauli ya Basi Dar Es Salaam kwenda Dodoma

Hadi hii leo May 2024, nauli za mabasi kutoka Dar es Salaam hadi Dodoma zimewekwa kama ifuatavyo kulingana na aina ya basi na mamlaka husika (LATRA):

Aina ya Basi Nauli (Tsh) Umbali (km)
Basi la kawaida (Ordinary) 21000 424
Basi la kifahari (Luxury) 29000 424

 

Tafadhali kumbuka kwamba nauli hizi zinaweza kubadilika kidogo kulingana na kampuni ya basi unayochagua kusafiri nayo. Baadhi ya kampuni huenda zikatoza kiasi kidogo zaidi au kidogo chini ya bei hizi elekezi za kawaida.

Ili kupata taarifa ya uhakika zaidi kuhusu nauli za mabasi, tunashauri uwasiliane moja kwa moja na kampuni ya basi unayotaka kusafiri nayo au kutembelea tovuti yao rasmi. Unaweza kununua tiketi yako moja kwa moja kwenye vituo vya mabasi au kupitia tovuti za kampuni za mabasi husika. Inashauriwa kununua tiketi mapema, hasa wakati wa misimu ya kusafiri yenye wasafiri wengi, ili kuepuka usumbufu wowote.

SOMA HII  Ishara Mhuhimu za Mafanikio

Hot this week

Nafasi za Kazi Jeshi la Magereza 2025

Jeshi la Magereza limetangaza nafasi mpya za ajira kwa...

Namna Ya Kuangalia Taarifa Za Usajili NIDA | Hatua kwa hatua

Namna Ya Kuangalia Taarifa Za Usajili NIDA, Kuangalia taarifa...

Mfumo wa Maombi ya Ajira kwa Walimu Mtandaoni (OTEAS)

Mwongozo wa Mfumo wa Maombi ya Ajira kwa Walimu...

Orodha ya Vifurushi vya Azam TV na Bei zake – Chagua Kifurushi Kinachokufaa

Azam TV imekuwa sehemu muhimu ya burudani ndani ya...

Sample/Mfano wa Barua ya Maombi ya Kazi Jeshi la Magereza

Mfano wa Barua ya Maombi ya Kazi Jeshi la...

Orodha ya Vifurushi vya Azam TV na Bei zake – Chagua Kifurushi Kinachokufaa

Azam TV imekuwa sehemu muhimu ya burudani ndani ya...

Jinsi ya Kupata Pesa kwa Biashara Ya Upigaji wa Picha Tanzania

Jinsi ya Kupata Pesa kwa Biashara Ya Upigaji wa...

Biashara Ndogo Ndogo Zenye Mtaji Kidogo

Biashara Ndogo Ndogo Zenye Mtaji Kidogo, Biashara ndogondogo zenye...

Jinsi ya kuandaa Tangazo La biashara kwa urahisi

Jinsi ya kuandaa Tangazo La biashara kwa urahisi, Kuandaa...

Bei Mpya Vifurushi vya Azam TV | Gharama Mpya za Vifurushi vya Azam TV

Bei Mpya Vifurushi vya Azam TV, Azam TV imekuwa...

Jinsi Ya Kulipia Vifurushi Vya Startimes

Startimes ni moja ya kampuni kubwa za utoaji huduma...

Related Articles

Popular Categories

Njia Rahisi ya Kuangalia Namba ya NIDA Kwa SMS

Njia Rahisi ya Kuangalia Namba ya NIDA Kwa SMS, Kupata namba ya NIDA kwa njia ya SMS ni rahisi na haraka. Njia hii ni...

Jinsi ya Kupata Mtoto wa Kiume

Jinsi ya Kupata Mtoto wa Kiume, Ni shauku ya kila mzazi kupata Watoto wa Jinsia tofauti katika uzao wao ingawaje Wengi hupata watoto wa...

Jinsi ya Kukopa Muda wa Maongezi Halotel | Menu ya kukopa Salio Halotel

Jinsi ya Kukopa Muda wa Maongezi Halotel, Je Unatumia mtandao wa simu wa halotel na umekwama na hujui hatua ,sifa na vigezo za kupata...