Ratiba ya Ngao ya Jamii 2025/2026

WhatsApp Group Join Now
Telegram Group Join Now

Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) limethibitisha rasmi kuwa fainali ya Ngao ya Jamii Tanzania 2025/2026 itapigwa tarehe 16 Septemba 2025 jijini Dar es Salaam. Mechi hiyo itakuwa ya aina yake kwa sababu itakutanisha watani wa jadi na klabu mbili kongwe za soka nchini, Yanga SC na Simba SC, baada ya marekebisho mapya ya kanuni kufanywa na Kamati ya Utendaji ya TFF.

Kwa mujibu wa taarifa ya TFF, mwaka huu mfumo wa Ngao ya Jamii Tanzania 2025/2026 umebadilika tofauti na msimu uliopita. Awali mashindano haya yalihusisha jumla ya timu nne zikicheza nusu fainali na kisha fainali, lakini kwa sasa itachezwa mechi moja tu ya moja kwa moja (finali). Hatua hiyo imechukuliwa kutokana na kubanwa kwa ratiba za mpira wa miguu barani Afrika na majukumu ya kitaifa.

SOMA HII  Ratiba ya Ligi Kuu Tanzania Bara 2025/2026 - NBC Premier League

Sababu za Mabadiliko ya Mfumo wa Ngao ya Jamii 2025/2026

TFF imeeleza kuwa ratiba ya msimu huu imebana kutokana na mambo mbalimbali ya kimataifa na kitaifa. Tanzania kwa sasa ni mwenyeji wa Fainali za CHAN 2025, mashindano ambayo yalianza tarehe 2 Agosti na yanatarajiwa kukamilika tarehe 30 Agosti 2025. Aidha, mwanzoni mwa mwezi Septemba, Taifa Stars itashiriki michezo miwili muhimu ya mchujo wa Kombe la Dunia.

Kwa kuzingatia mazingira haya, TFF iliona ni muhimu kupunguza idadi ya michezo ya Ngao ya Jamii ili kutoathiri ratiba ya klabu na timu ya taifa. Baada ya mchezo huo, vilabu vya Tanzania vitakabiliwa na mechi za awali za mashindano ya Shirikisho la Soka Afrika (CAF), jambo linaloongeza shinikizo la muda.

SOMA HII  Ten Hag Atimuliwa Bayer Leverkusen Baada ya Mechi Tatu Tu

Timu Zitakazoshiriki Ngao ya Jamii Tanzania 2025/2026

Kwa mujibu wa ratiba:

  • Young Africans SC: Mabingwa wa Ligi Kuu Bara 2024/25.
  • Simba SC: Washindi wa pili wa Ligi Kuu Bara 2024/25.

Mchezo huu utatumika kama sehemu ya kuzindua msimu mpya wa mashindano ya TFF 2025/2026, na unatarajiwa kuvuta hisia kubwa kutokana na upinzani wa jadi kati ya timu hizi mbili.

Hot this week

Nafasi za Kazi Jeshi la Magereza 2025

Jeshi la Magereza limetangaza nafasi mpya za ajira kwa...

Namna Ya Kuangalia Taarifa Za Usajili NIDA | Hatua kwa hatua

Namna Ya Kuangalia Taarifa Za Usajili NIDA, Kuangalia taarifa...

Mfumo wa Maombi ya Ajira kwa Walimu Mtandaoni (OTEAS)

Mwongozo wa Mfumo wa Maombi ya Ajira kwa Walimu...

Orodha ya Vifurushi vya Azam TV na Bei zake – Chagua Kifurushi Kinachokufaa

Azam TV imekuwa sehemu muhimu ya burudani ndani ya...

Sample/Mfano wa Barua ya Maombi ya Kazi Jeshi la Magereza

Mfano wa Barua ya Maombi ya Kazi Jeshi la...

Wasifu CV ya Neo Maema Kiungo Mpya wa Simba 2025/2026

Klabu ya Simba SC imethibitisha kukamilisha usajili wa kiungo...

Ratiba ya Klabu Bingwa Afrika 2025/2026 Hatua ya Awali

Droo ya mashindano ya Shirikisho la Soka Afrika (CAF)...

Timu 12 Zitakazoshiriki Mashindano ya CECAFA Kagame Cup 2025

Timu 12 Zitakazoshiriki Mashindano ya CECAFA Kagame Cup 2025 Timu...

Wasifu CV Ya Mohamed Doumbia Kiungo Mpya wa Yanga 2025/2026

Mu Ivory Coast, Mohamed Doumbia (26) ametambulishwa na timu...

Orodha ya Wafungaji Bora CHAN 2025

Orodha ya Wafungaji Bora CHAN 2025, Michuano ya CHAN...

Kikosi cha Taifa Stars vs Morocco Leo 22 August 2025 CHAN

Timu ya Taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’ itacheza mchezo...

Wasifu CV Ya Rushine De Reuck Beki Mpya wa Simba 2025/2026

Klabu ya Simba imemtambulisha rasmi beki wa kati, Rushine...

Related Articles

Popular Categories

Njia Rahisi ya Kuangalia Namba ya NIDA Kwa SMS

Njia Rahisi ya Kuangalia Namba ya NIDA Kwa SMS, Kupata namba ya NIDA kwa njia ya SMS ni rahisi na haraka. Njia hii ni...

Jinsi ya Kupata Mtoto wa Kiume

Jinsi ya Kupata Mtoto wa Kiume, Ni shauku ya kila mzazi kupata Watoto wa Jinsia tofauti katika uzao wao ingawaje Wengi hupata watoto wa...

Jinsi ya Kukopa Muda wa Maongezi Halotel | Menu ya kukopa Salio Halotel

Jinsi ya Kukopa Muda wa Maongezi Halotel, Je Unatumia mtandao wa simu wa halotel na umekwama na hujui hatua ,sifa na vigezo za kupata...