Bei ya Tiketi za Treni Ya Mwendokasi SGR | Nauli Mpya za Treni za Mwendokasi

WhatsApp Group Join Now
Telegram Group Join Now

Bei ya Tiketi za Treni Ya Mwendokasi SGR, Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA) imetangaza rasmi nauli za safari za treni ya mwendokasi ya SGR, na habari njema kwa wasafiri wote nchini ni kwamba bei za nauli sio kubwa kama wengi walivotarajia.

Na kwa familia zinazosafiri na watoto wadogo, kuna habari njema zaidi: watoto chini ya miaka minne watasafiri bure kabisa!

LATRA imeweka nauli hizi kwa kuzingatia umbali wa safari, hivyo kuhakikisha kuwa wasafiri wanalipa kiwango cha haki kulingana na umbali wanaosafiri. Nauli hizi zina ushindani mkubwa ukilinganisha na mabasi yaendayo Dodoma, ambayo kwa kawaida hutoza kati ya Tsh 29,000 na Tsh 35,000. Kwa hivyo, SGR haitoi tu safari ya haraka na ya starehe bali pia ni chaguo la kiuchumi kwa wasafiri wengi.

Bei ya Tiketi za Treni Ya Mwendokasi SGR 2024

Bei ya Tiketi za Treni Ya Mwendokasi SGR 

Nauli za Treni ya mwendokasi zimewekwa kwa kuzingatia umbali wa safari usika na umri wa abiria. Kwa watu wazima na watoto wenye umri zaidi ya miaka 12, bei ya tiketi imetajwa kuwa ni Tsh. 69.51 kwa kila kilomita. Watoto wenye umri kati ya miaka 4 na 12 watalipa nusu ya bei hiyo, yaani Tsh. 34.76 kwa kilomita. Watoto chini ya miaka minne watasafiri bure, lakini taarifa zao zitahitajika kurekodiwa.

SOMA HII  Faida za Kufanya Biashara Kwa Bidii

Bei ya Tiketi Treni ya Mwendokasi SGR Kwa Abiria Wenye umri zaidi ya miaka 12

Bei ya Tiketi za Treni Ya Mwendokasi kwa daraja la kawaida kulingana na umbali wa vituo kuanzia Dar es Salaam hadi Makutupora kwa watu wazima na watoto wenye umri zaidi ya miaka 12 ni kama ifuatavyo;

Safari   Umbali (Km) Nauli (Shilingi)
Kutoka Kwenda Daraja la Kawaida
Dar es Salaam Pugu 19 1000
Dar es Salaam Soga 51 4000
Dar es Salaam Ruvu 73 5000
Dar es Salaam Ngerengere 134.5 9000
Dar es Salaam Morogoro 192 13000
Dar es Salaam Mkata 229 16000
Dar es Salaam Kilosa 265 18000
Dar es Salaam Kidete 312 22000
Dar es Salaam Gulwe 354.7 25000
Dar es Salaam Igandu 387.5 27000
Dar es Salaam Dodoma 444 31000
Dar es Salaam Bahi 501.6 35000
Dar es Salaam Makutupora 531 37000
SOMA HII  Falsafa za Mafanikio Tanzania

Bei Ya Tiketi Kwa Abiria Wenye umri Kuanzaia Miaka 4 hadi 12

Aidha, mchanganuo wa Bei ya tiketi za Treni ya mwendokasi kwa daraja la kawaida kulingana na umbali wa vituo kuanzia Dar es Salaam hadi Makutupora kwa watoto wenye umri kuanzia miaka minne (4) hadi 12 ni kama ifuatavyo;

Safari Umbali (Km) Nauli (Shilingi)
Kutoka Kwenda Daraja la Kawaida
Dar es Salaam Pugu 19 500
Dar es Salaam Soga 51 2000
Dar es Salaam Ruvu 73 2500
Dar es Salaam Ngerengere 134.5 4500
Dar es Salaam Morogoro 192 6500
Dar es Salaam Mkata 229 8000
Dar es Salaam Kilosa 265 9000
Dar es Salaam Kidete 312 11000
Dar es Salaam Gulwe 354.7 12500
Dar es Salaam Igandu 387.5 13500
Dar es Salaam Dodoma 444 15500
Dar es Salaam Bahi 501.6 17500
Dar es Salaam Makutupora 531 18500
SOMA HII  Gharama Ya Maisha Tanzania

Uchambuzi

  • Nauli ya Standard Class ya kawaida iko kwa wastani wa TSh 13,000 kwa mtu mzima—hii ni chaguo rahisi na nafuu kwa wengi.
  • Kama unatafuta haraka zaidi na huduma zaidi, Express ni bora—bei kati ya TSh 20,000–22,000.
  • Kwa familia, watoto wa umri wa miaka 4–12 wanapata punguzo la 50%, na chini ya miaka 4 wanapanda bure.

Mapendekezo

  • Kwa bei nafuu na haraka: chagua Standard Class (TSh 13,000).
  • Kwa haraka zaidi (Express): angalia chaguo za TSh 20–22,000, ikiwa unaona thamani kwa muda uliookolewa.
  • Kwa familia: hakikisha umepata taarifa lazima kuhusu punguzo kwa watoto (4–12) na usafiri wa bure kwa chini ya miaka 4.

Bei rasmi ya Standard Class Dar es Salaam → Morogoro inakadiriwa kuwa karibu TSh 13,000 kwa mtu mzima; bei za Express zinaweza kufikia TSh 20,000–22,000, kulingana na aina ya daraja. Watoto 4–12 wanapata nusu ya bei, na chini ya 4 wasafiri kwa bure.

Hot this week

Nafasi za Kazi Jeshi la Magereza 2025

Jeshi la Magereza limetangaza nafasi mpya za ajira kwa...

Namna Ya Kuangalia Taarifa Za Usajili NIDA | Hatua kwa hatua

Namna Ya Kuangalia Taarifa Za Usajili NIDA, Kuangalia taarifa...

Mfumo wa Maombi ya Ajira kwa Walimu Mtandaoni (OTEAS)

Mwongozo wa Mfumo wa Maombi ya Ajira kwa Walimu...

Orodha ya Vifurushi vya Azam TV na Bei zake – Chagua Kifurushi Kinachokufaa

Azam TV imekuwa sehemu muhimu ya burudani ndani ya...

Sample/Mfano wa Barua ya Maombi ya Kazi Jeshi la Magereza

Mfano wa Barua ya Maombi ya Kazi Jeshi la...

Orodha ya Vifurushi vya Azam TV na Bei zake – Chagua Kifurushi Kinachokufaa

Azam TV imekuwa sehemu muhimu ya burudani ndani ya...

Jinsi ya Kupata Pesa kwa Biashara Ya Upigaji wa Picha Tanzania

Jinsi ya Kupata Pesa kwa Biashara Ya Upigaji wa...

Biashara Ndogo Ndogo Zenye Mtaji Kidogo

Biashara Ndogo Ndogo Zenye Mtaji Kidogo, Biashara ndogondogo zenye...

Jinsi ya kuandaa Tangazo La biashara kwa urahisi

Jinsi ya kuandaa Tangazo La biashara kwa urahisi, Kuandaa...

Bei Mpya Vifurushi vya Azam TV | Gharama Mpya za Vifurushi vya Azam TV

Bei Mpya Vifurushi vya Azam TV, Azam TV imekuwa...

Jinsi Ya Kulipia Vifurushi Vya Startimes

Startimes ni moja ya kampuni kubwa za utoaji huduma...

Related Articles

Popular Categories

Njia Rahisi ya Kuangalia Namba ya NIDA Kwa SMS

Njia Rahisi ya Kuangalia Namba ya NIDA Kwa SMS, Kupata namba ya NIDA kwa njia ya SMS ni rahisi na haraka. Njia hii ni...

Jinsi ya Kupata Mtoto wa Kiume

Jinsi ya Kupata Mtoto wa Kiume, Ni shauku ya kila mzazi kupata Watoto wa Jinsia tofauti katika uzao wao ingawaje Wengi hupata watoto wa...

Jinsi ya Kukopa Muda wa Maongezi Halotel | Menu ya kukopa Salio Halotel

Jinsi ya Kukopa Muda wa Maongezi Halotel, Je Unatumia mtandao wa simu wa halotel na umekwama na hujui hatua ,sifa na vigezo za kupata...