Makundi ya CECAFA Kagame Cup 2025

WhatsApp Group Join Now
Telegram Group Join Now

Michuano ya CECAFA Kagame Cup 2025 inatarajiwa kuanza kutimua vumbi kuanzia Septemba 2 hadi 15 jijini Dar es Salaam, ikiwa ni mara nyingine tena Tanzania inakuwa mwenyeji wa mashindano haya makubwa ya klabu za Afrika Mashariki na Kati.

Mashindano haya yamepangwa kufanyika katika viwanja vitatu vya mkoa wa Dar es Salaam ambavyo ni Azam Complex (Chamazi), KMC Complex (Mwenge) na Uwanja wa Meja Jenerali Isamuyo (Mbweni).

Droo ya upangaji wa makundi imefanyika Agosti 28, 2025 katika hoteli ya Pan Pacific Suites jijini Nairobi, na kuzikutanisha klabu 11 kutoka nchi wanachama wa Baraza la Vyama vya Soka Afrika Mashariki na Kati (CECAFA).

SOMA HII  Kikosi cha Taifa Stars vs Morocco Leo 22 August 2025 CHAN

Makundi ya CECAFA Kagame Cup 2025

Makundi ya CECAFA Kagame Cup 2025

Kwa mujibu wa droo hiyo, timu shiriki zimegawanywa katika makundi matatu kama ifuatavyo:

Kundi A

  1. Singida Black Stars FC (Tanzania)
  2. Garde Cotes FC (Djibouti)
  3. Ethiopian Coffee SC (Ethiopia)
  4. Kenya Police FC (Kenya)

Kundi B

  1. APR FC (Rwanda)
  2. NEC FC (Uganda)
  3. Bumamuru FC (Burundi)
  4. Mlandege FC (Zanzibar)

Kundi C

  1. Al Hilal SC (Sudan)
  2. Kator FC (Sudan Kusini)
  3. Mogadishu City Club (Somalia)
  4. Al Ahly SC Wad Madani (Sudan)

Udhamini na Thamani ya Mashindano

Mashindano ya mwaka huu yamepata udhamini mpya kutoka kampuni ya michezo ya kubashiri Betika, ambayo imetangaza kuwekeza Shilingi milioni 42 za Kenya (sawa na zaidi ya Shilingi milioni 814 za Kitanzania). Kiasi hiki kinaifanya Kagame Cup 2025 kuwa na thamani ya zaidi ya Shilingi milioni 800, hatua inayoongeza hamasa na hadhi ya mashindano haya ya muda mrefu.

SOMA HII  Vilabu Bora Afrika 2025 (CAF Club Ranking 2025)

Makamu wa Rais wa CECAFA, Paulos Weldehaimanot, alisema udhamini huu ni kielelezo cha mshikamano kati ya sekta binafsi na michezo, huku akisisitiza kuwa mchango wa Betika unaonyesha imani kubwa katika maendeleo ya soka la ukanda huu.

Kwa upande wake, Mkurugenzi wa Betika, Mutua Mutawa, alisema kampuni yake inajivunia kushiriki kwenye safari ya kukuza vipaji vya soka la Afrika Mashariki na Kati kupitia mashindano haya.

Hot this week

Nafasi za Kazi Jeshi la Magereza 2025

Jeshi la Magereza limetangaza nafasi mpya za ajira kwa...

Namna Ya Kuangalia Taarifa Za Usajili NIDA | Hatua kwa hatua

Namna Ya Kuangalia Taarifa Za Usajili NIDA, Kuangalia taarifa...

Mfumo wa Maombi ya Ajira kwa Walimu Mtandaoni (OTEAS)

Mwongozo wa Mfumo wa Maombi ya Ajira kwa Walimu...

Orodha ya Vifurushi vya Azam TV na Bei zake – Chagua Kifurushi Kinachokufaa

Azam TV imekuwa sehemu muhimu ya burudani ndani ya...

Sample/Mfano wa Barua ya Maombi ya Kazi Jeshi la Magereza

Mfano wa Barua ya Maombi ya Kazi Jeshi la...

Wasifu CV ya Neo Maema Kiungo Mpya wa Simba 2025/2026

Klabu ya Simba SC imethibitisha kukamilisha usajili wa kiungo...

Wasifu CV Ya Mohamed Doumbia Kiungo Mpya wa Yanga 2025/2026

Mu Ivory Coast, Mohamed Doumbia (26) ametambulishwa na timu...

Ratiba ya Klabu Bingwa Afrika 2025/2026 Hatua ya Awali

Droo ya mashindano ya Shirikisho la Soka Afrika (CAF)...

Timu 12 Zitakazoshiriki Mashindano ya CECAFA Kagame Cup 2025

Timu 12 Zitakazoshiriki Mashindano ya CECAFA Kagame Cup 2025 Timu...

Kikosi cha Taifa Stars vs Morocco Leo 22 August 2025 CHAN

Timu ya Taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’ itacheza mchezo...

Orodha ya Wafungaji Bora CHAN 2025

Orodha ya Wafungaji Bora CHAN 2025, Michuano ya CHAN...

Wasifu CV Ya Rushine De Reuck Beki Mpya wa Simba 2025/2026

Klabu ya Simba imemtambulisha rasmi beki wa kati, Rushine...

Related Articles

Popular Categories

Njia Rahisi ya Kuangalia Namba ya NIDA Kwa SMS

Njia Rahisi ya Kuangalia Namba ya NIDA Kwa SMS, Kupata namba ya NIDA kwa njia ya SMS ni rahisi na haraka. Njia hii ni...

Jinsi ya Kupata Mtoto wa Kiume

Jinsi ya Kupata Mtoto wa Kiume, Ni shauku ya kila mzazi kupata Watoto wa Jinsia tofauti katika uzao wao ingawaje Wengi hupata watoto wa...

Jinsi ya Kukopa Muda wa Maongezi Halotel | Menu ya kukopa Salio Halotel

Jinsi ya Kukopa Muda wa Maongezi Halotel, Je Unatumia mtandao wa simu wa halotel na umekwama na hujui hatua ,sifa na vigezo za kupata...