Matokeo ya Taifa Stars vs Morocco Leo 22/08/2025 CHAN

WhatsApp Group Join Now
Telegram Group Join Now

Kikosi cha Timu ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars, leo kitashuka dimbani kupambania nafasi ya kusonga mbele katika hatua ya nusu fainali ya michuano ya CHAN 2024 ambapo kitachuana na mabingwa wa soka barani Afrika, Morocco, katika mtanange wa kukata shoka unaotarajiwa kutimua vumbi katika dimba la Benjamin Mkapa, jijini Dar es Salaam majira ya saa 2:00 usiku.

Mashabiki wa soka kote nchini wanasubiri kwa hamu matokeo ya Taifa Stars vs Morocco leo 22/08/2025 CHAN ili kuona kama Stars wataandika historia mpya ya kufika nusu fainali kwa mara ya kwanza.

Matokeo ya Taifa Stars vs Morocco Leo 22/08/2025 CHAN

Tanzania VS Morocco
SOMA HII  Mtengenezaji wa Jezi za Yanga | Mtengenezaji wa Jezi Mpya za Yanga

Friday, August 22, 2025

👕 | Tanzania 🇹🇿 ✖ 🇲🇦 Morocco
🏆 | CHAN 2024 – Quarter-finals
⏰ | 20:00 🇹🇿
🏟️ | Benjamin Mkapa Stadium – Dar Es Salaam

Matokeo ya Taifa Stars vs Morocco Leo 22/08/2025 CHAN

Safari ya Taifa Stars na Morocco Kufika Robo Fainali

Tanzania ilimaliza kileleni mwa Kundi A ikiwa na pointi 10 baada ya kushinda mechi tatu na kutoka sare moja, rekodi ambayo imewapa nafasi ya kipekee kwenye robo fainali.

Kwa upande wa Morocco, walimaliza nafasi ya pili Kundi A wakiwa na pointi 9, wakishinda mechi tatu na kupoteza moja dhidi ya Kenya. Waliwafunga Angola 2-0, wakaangukia kwa Kenya 0-1, kisha kuibuka na ushindi wa 3-1 dhidi ya Zambia na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.

SOMA HII  Chama Ajiunga na Singida Black Stars kwa Mkataba wa Mwaka Mmoja

Historia ya Taifa Stars dhidi ya Morocco

Mchezo wa leo utakuwa ni mara ya nane kwa Taifa Stars na Morocco kukutana kwenye mashindano rasmi. Morocco wana rekodi nzuri zaidi wakiwa wameshinda michezo sita, huku Tanzania ikishinda mchezo mmoja pekee na hakuna sare kati ya timu hizo.

Hot this week

Nafasi za Kazi Jeshi la Magereza 2025

Jeshi la Magereza limetangaza nafasi mpya za ajira kwa...

Namna Ya Kuangalia Taarifa Za Usajili NIDA | Hatua kwa hatua

Namna Ya Kuangalia Taarifa Za Usajili NIDA, Kuangalia taarifa...

Mfumo wa Maombi ya Ajira kwa Walimu Mtandaoni (OTEAS)

Mwongozo wa Mfumo wa Maombi ya Ajira kwa Walimu...

Orodha ya Vifurushi vya Azam TV na Bei zake – Chagua Kifurushi Kinachokufaa

Azam TV imekuwa sehemu muhimu ya burudani ndani ya...

Sample/Mfano wa Barua ya Maombi ya Kazi Jeshi la Magereza

Mfano wa Barua ya Maombi ya Kazi Jeshi la...

Wasifu CV ya Neo Maema Kiungo Mpya wa Simba 2025/2026

Klabu ya Simba SC imethibitisha kukamilisha usajili wa kiungo...

Wasifu CV Ya Mohamed Doumbia Kiungo Mpya wa Yanga 2025/2026

Mu Ivory Coast, Mohamed Doumbia (26) ametambulishwa na timu...

Ratiba ya Klabu Bingwa Afrika 2025/2026 Hatua ya Awali

Droo ya mashindano ya Shirikisho la Soka Afrika (CAF)...

Timu 12 Zitakazoshiriki Mashindano ya CECAFA Kagame Cup 2025

Timu 12 Zitakazoshiriki Mashindano ya CECAFA Kagame Cup 2025 Timu...

Kikosi cha Taifa Stars vs Morocco Leo 22 August 2025 CHAN

Timu ya Taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’ itacheza mchezo...

Orodha ya Wafungaji Bora CHAN 2025

Orodha ya Wafungaji Bora CHAN 2025, Michuano ya CHAN...

Wasifu CV Ya Rushine De Reuck Beki Mpya wa Simba 2025/2026

Klabu ya Simba imemtambulisha rasmi beki wa kati, Rushine...

Related Articles

Popular Categories

Njia Rahisi ya Kuangalia Namba ya NIDA Kwa SMS

Njia Rahisi ya Kuangalia Namba ya NIDA Kwa SMS, Kupata namba ya NIDA kwa njia ya SMS ni rahisi na haraka. Njia hii ni...

Jinsi ya Kupata Mtoto wa Kiume

Jinsi ya Kupata Mtoto wa Kiume, Ni shauku ya kila mzazi kupata Watoto wa Jinsia tofauti katika uzao wao ingawaje Wengi hupata watoto wa...

Jinsi ya Kukopa Muda wa Maongezi Halotel | Menu ya kukopa Salio Halotel

Jinsi ya Kukopa Muda wa Maongezi Halotel, Je Unatumia mtandao wa simu wa halotel na umekwama na hujui hatua ,sifa na vigezo za kupata...