Ratiba ya Mtihani wa Upimaji wa Darasa la Pili 2025

WhatsApp Group Join Now
Telegram Group Join Now

Ratiba ya Mtihani wa Upimaji wa Darasa la Pili 2025, Baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA) limetangaza rasmi Ratiba ya Mtihani wa Upimaji wa Kitaifa wa Darasa la Pili 2025.

Mtihani huu ni wa ngazi ya shule na unalenga kupima uwezo wa wanafunzi wa darasa la pili katika stadi tatu kuu za msingi ambazo ni kusoma, kuandika (Writing: Basic English Language Skills) na kuhesabu (Arithmetic Skills).

Upimaji huu ni hatua muhimu inayosaidia kutathmini kiwango cha uelewa na maendeleo ya wanafunzi katika umilisi wa somo la lugha na hisabati.

Ratiba ya Mtihani wa Upimaji wa Darasa la Pili 2025

Mtihani wa Upimaji wa Darasa la Pili 2025 umepangwa kuanza kufanyika mwezi Novemba 2025 kama ifuatavyo:

SOMA HII  Kozi za VETA na Gharama zake
Tarehe Siku Muda Somo/Stadi
18/11/2025 Jumanne 2:00 – 2:40 Kuandika: Basic English Language Skills
2:40 – 3:40 Mapumziko
3:40 – 4:30 Stadi ya Kuhesabu (Arithmetic Skills)
19/11/2025 Jumatano 2:00 – 5:00 Stadi ya Kusoma
20/11/2025 Alhamisi (Kwa shule zenye zaidi ya wanafunzi 300, stadi ya kusoma inaweza kuendelea siku hii)

Ratiba ya Mtihani wa Upimaji wa Darasa la Pili 2025

Hot this week

Nafasi za Kazi Jeshi la Magereza 2025

Jeshi la Magereza limetangaza nafasi mpya za ajira kwa...

Namna Ya Kuangalia Taarifa Za Usajili NIDA | Hatua kwa hatua

Namna Ya Kuangalia Taarifa Za Usajili NIDA, Kuangalia taarifa...

Mfumo wa Maombi ya Ajira kwa Walimu Mtandaoni (OTEAS)

Mwongozo wa Mfumo wa Maombi ya Ajira kwa Walimu...

Orodha ya Vifurushi vya Azam TV na Bei zake – Chagua Kifurushi Kinachokufaa

Azam TV imekuwa sehemu muhimu ya burudani ndani ya...

Sample/Mfano wa Barua ya Maombi ya Kazi Jeshi la Magereza

Mfano wa Barua ya Maombi ya Kazi Jeshi la...

Jinsi ya Kuandika CV Nzuri ya Kumvutia Muajiri – Hatua kwa hatua

CV Moja tu inatosha kukupa kazi ya ndoto yako...

Kozi za VETA na Gharama zake

Kozi za VETA na Gharama zake, VETA inatoa kozi...

Jinsi ya Kupata Kibali cha Uhamisho kwa Mtumishi wa Umma

Uhamisho wa mtumishi wa umma ni mchakato muhimu unaohusisha...

Orodha ya Shule Nzuri za Advanced za Serikali Tanzania

Elimu ni msingi muhimu katika maendeleo ya jamii yoyote,...

HESLB: Vigezo vya Kupata Mkopo Ngazi ya Diploma 2025/2026

Vigezo vya Kupata Mkopo Ngazi ya Diploma 2025/2026, Katika...

Orodha ya Kozi za Diploma Zenye Mkopo 2025/2026

Orodha ya Kozi za Diploma Zenye Mkopo 2025/2026, Kupata...

Alama Za Ufaulu Kidato Cha Nne Tanzania (Madaraja ya Ufaulu Form Four)

Alama za ufaulu kwa Kidato cha Nne nchini Tanzania...

Alama za Ufaulu Kidato cha Sita (Madaraja ya Ufaulu Kidato cha Sita)

Mitihani ya Taifa ya kidato cha sita ni moja...

Related Articles

Popular Categories

Njia Rahisi ya Kuangalia Namba ya NIDA Kwa SMS

Njia Rahisi ya Kuangalia Namba ya NIDA Kwa SMS, Kupata namba ya NIDA kwa njia ya SMS ni rahisi na haraka. Njia hii ni...

Jinsi ya Kupata Mtoto wa Kiume

Jinsi ya Kupata Mtoto wa Kiume, Ni shauku ya kila mzazi kupata Watoto wa Jinsia tofauti katika uzao wao ingawaje Wengi hupata watoto wa...

Jinsi ya Kukopa Muda wa Maongezi Halotel | Menu ya kukopa Salio Halotel

Jinsi ya Kukopa Muda wa Maongezi Halotel, Je Unatumia mtandao wa simu wa halotel na umekwama na hujui hatua ,sifa na vigezo za kupata...