Sifa za Kujiunga na Jeshi la Magereza Tanzania 2025

WhatsApp Group Join Now
Telegram Group Join Now

Jeshi la Magereza ni miongoni mwa vyombo muhimu vya ulinzi na usalama nchini Tanzania, lenye jukumu kubwa la kuhakikisha usalama wa jamii kupitia usimamizi wa wafungwa na watuhumiwa walioko chini ya ulinzi wa kisheria.

kwenye makala hii kuna sifa kuu za kujiunga na Jeshi la Magereza Tanzania kwa mwaka 2025, kulingana na tangazo rasmi lililotolewa:

Sifa za Kujiunga na Jeshi la Magereza Tanzania 2025

Majukumu Makuu ya Jeshi la Magereza

Jeshi la Magereza Tanzania lina majukumu kadhaa muhimu kwa ustawi wa taifa, ikiwemo:

  1. Kuwahifadhi wafungwa wa aina zote waliowekwa chini ya ulinzi halali wa kisheria.
  2. Kuandaa na kutekeleza programu za urekebishaji, ikiwa ni pamoja na kuwafundisha wafungwa ujuzi mbalimbali wa uzalishaji na maisha.
  3. Kutoa huduma kwa mahabusu kwa kuzingatia misingi ya kisheria na haki za binadamu.
  4. Kuchangia katika ushauri wa kitaifa kuhusu njia bora za kuzuia na kudhibiti uhalifu.
SOMA HII  Mfano wa Barua ya Maombi ya Kazi JWTZ

Kwa njia hii, Jeshi la Magereza husaidia kulinda jamii na kuhakikisha kuwa wafungwa wanapata nafasi ya kubadilika na kushiriki kikamilifu katika maendeleo ya kijamii na kiuchumi mara baada ya kuachiwa huru.

Sifa za Kujiunga na Jeshi la Magereza Tanzania 2025

Kwa vijana wanaotamani kujiunga na Jeshi la Magereza mwaka 2025, kuna masharti na vigezo rasmi vinavyopaswa kuzingatiwa.

Zifuatazo hapa chini ni sifa kuu zinazohitajika:

1. Lazima uwe Raia wa Tanzania.

2. Unatakiwa kuwa na Kitambulisho cha Uraia au Namba ya NIDA.

3. Usiwahi kuajiriwa katika taasisi yoyote ya Serikali.

4. Umri:

  • Wahitimu wa Kidato cha Nne wanatakiwa kuwa na umri kati ya miaka 18 na 24.
  • Wenye ujuzi maalum wanatakiwa kuwa na umri kati ya miaka 18 na 28.
SOMA HII  Nafasi za Kazi Jeshi la Magereza 2025

5. Lazima uwe na cheti halisi cha kuzaliwa.

6. Urefu:

  • Wanaume wanatakiwa kuwa na urefu usiopungua futi 5’7”.
  • Wanawake wanatakiwa kuwa na urefu usiopungua futi 5’4”.

7. Uwe na siha njema ya mwili na akili, iliyothibitishwa na daktari wa Serikali.

8. Hutakiwi kuwa umeoa au kuolewa, na wanawake hawatakiwi kuwa wamejifungua.

9. Ili kujiunga na jeshi la magereza hutakiwi kua na alama au michoro yoyote (tattoo) mwilini.

10. Lazima uwe na nidhamu na tabia njema, na usiwe umewahi kupatikana na hatia ya jinai au kufungwa gerezani.

11. Ni lazima uwe tayari kuhudhuria mafunzo ya awali ya Askari Magereza na kufanya kazi popote Tanzania Bara.

SOMA HII  Mfumo wa Maombi ya Ajira kwa Walimu Mtandaoni (OTEAS)

12. Unatakiwa kuwa tayari kujigharamia katika hatua zote za usaili hadi utakapofika mafunzoni.

Hot this week

Nafasi za Kazi Jeshi la Magereza 2025

Jeshi la Magereza limetangaza nafasi mpya za ajira kwa...

Namna Ya Kuangalia Taarifa Za Usajili NIDA | Hatua kwa hatua

Namna Ya Kuangalia Taarifa Za Usajili NIDA, Kuangalia taarifa...

Mfumo wa Maombi ya Ajira kwa Walimu Mtandaoni (OTEAS)

Mwongozo wa Mfumo wa Maombi ya Ajira kwa Walimu...

Orodha ya Vifurushi vya Azam TV na Bei zake – Chagua Kifurushi Kinachokufaa

Azam TV imekuwa sehemu muhimu ya burudani ndani ya...

Sample/Mfano wa Barua ya Maombi ya Kazi Jeshi la Magereza

Mfano wa Barua ya Maombi ya Kazi Jeshi la...

Nafasi za Kazi Jeshi la Magereza 2025

Jeshi la Magereza limetangaza nafasi mpya za ajira kwa...

Mfumo wa Maombi ya Ajira kwa Walimu Mtandaoni (OTEAS)

Mwongozo wa Mfumo wa Maombi ya Ajira kwa Walimu...

Sample/Mfano wa Barua ya Maombi ya Kazi Jeshi la Magereza

Mfano wa Barua ya Maombi ya Kazi Jeshi la...

Jinsi ya Kujisajili na Kutuma Maombi Ya Walimu Kupitia OTEAS

Jinsi ya Kujisajili na Kutuma Maombi Ya Walimu Kupitia...

Tarehe ya Mwisho Wa Kutuma Maombi ya Ajira Jeshi la Magereza 2025

Jeshi la Magereza limetangaza nafasi mpya za ajira kwa...

Jinsi ya Kujisajiri na Mfumo wa Maombi ya Ajira TAMISEMI

Serikali ya Tanzania kupitia Ofisi ya Rais - Tawala...

Related Articles

Popular Categories

Njia Rahisi ya Kuangalia Namba ya NIDA Kwa SMS

Njia Rahisi ya Kuangalia Namba ya NIDA Kwa SMS, Kupata namba ya NIDA kwa njia ya SMS ni rahisi na haraka. Njia hii ni...

Jinsi ya Kupata Mtoto wa Kiume

Jinsi ya Kupata Mtoto wa Kiume, Ni shauku ya kila mzazi kupata Watoto wa Jinsia tofauti katika uzao wao ingawaje Wengi hupata watoto wa...

Jinsi ya Kukopa Muda wa Maongezi Halotel | Menu ya kukopa Salio Halotel

Jinsi ya Kukopa Muda wa Maongezi Halotel, Je Unatumia mtandao wa simu wa halotel na umekwama na hujui hatua ,sifa na vigezo za kupata...